Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Akumbatia Mti Masaa 72, Ushahidi Wahitajika Apate Tuzo

Baada ya kukamilisha mbio yake ya kukumbatia miti, mwanaharakati wa mazingira kutoka Kenya, Truphena Muthoni, sasa anaingia katika hatua muhimu zaidi ya safari yake ya rekodi ya Guinness World Records

Guinness World Records haitambui jaribio kama rasmi hadi aliyefanya hiyo rekodi awasilishe ushahidi kamili na ukaguliwe kwa kujitegemea kisha kuidhinishwa.

Kulingana na miongozo ya Guinness World Records, kuvunja rekodi hatua ya kwanza ni Kuthibitisha kuwa ilifanyika chini ya masharti yanayohitajika ndiyo kunaamua kama taji hilo litakuwa rasmi.

 

Chanzo; Bongo 5

Kuhusiana na mada hii: