Shirikisho la Soka Africa CAF limetangaza kikosi bora cha mashindano ya AFCON 2025.

Katika kikosi hicho bora cha AFCON mataifa matatu pekee ambayo ni Nigeria, Senegal na Morocco wachezaji wao ndiyo wameonekana kwenye kikosi hicho.
Chanzo; Bongo 5
We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.