Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Camara Akamilisha Matibabu Yake Morocco

Golikipa wa klabu ya Simba Sc Moussa Camara amekamilisha matibabu yake nchini Morocco na sasa anarejea nchini kwa ajili kusubiri kupona akiwa chini ya uangalizi wa madaktari wa klabu ya Simba Sc.

Moussa Camara alikua nje ya uwanja kwa kipindi kirefu akisumbuliwa na majeraha ya goli ambayo yalipelekea mchezaji huyo kufanyiwa upasuaji.

 

Chanzo; Bongo 5

Kuhusiana na mada hii: