Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Tanzania, Kenya, Uganda Zapewa Uwenyeji Afcon 2027

Tanzania, Kenya na Uganda rasmi zimekabidhiwa uenyeji wa AFCON 2027 baada ya mechi ya fainali kati ya Senegal vs Morocco ambapo Tanzania imewakilishwa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda.

Makonda ameungana na viongozi wengine wa Michezo Afrika Mashariki kupokea bendera ya CAF waliyokabidhiwa na Rais wa Shirikisho la Mpira wa miguu Afrika, Patrice Motsepe kama ishara sasa rasmi kupokea kijiti cha uenyeji kutoka kwa Morocco.

 

 

Chanzo; Millard Ayo

Kuhusiana na mada hii: