Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Simba Yamtambulisha Steve Barker Kocha Mkuu

Klabu ya Simba Sc imemtambulisha rasmi Steve Barker kuwa kocha wao mkuu.

Steve ni kocha anayejulikana kwa uzoefu wake mkubwa katika ligi za juu za nchi hiyo, hususan PSL.

Steve Barker anaheshimika kama kocha mwenye uwezo wa kujenga timu imara, kukuza vipaji vya vijana, na kufanikisha miradi ya muda mrefu ya klabu.

 

Chanzo; Bongo 5

Kuhusiana na mada hii: