Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Messi Azua Kizaaa Zaa India, Uwanja Hautamaniki

Ziara ya Lionel Messi nchini India ilianza kwa vurugu jana Jumamosi, Desemba 13 baada ya mashabiki kung’oa viti na kuvitupa sehemu ya kuchezea, kufuatia ziara fupi ya mshambuliaji huyo wa Argentina na klabu ya Inter Miami katika Uwanja wa Salt Lake, Kolkata.



Maelfu ya mashabiki walifurika uwanjani kwa ajili ya kumwona Messi, lakini ulinzi mkali na upatikanaji mdogo kumuona uliwafanya mashabiki wengi wakisubiri kwa saa kadhaa bila mafanikio.

Baadhi ya mashabiki walikasirika, wakavunja vizuizi na kuingia uwanjani baada ya Messi kuondoka mapema kuliko ilivyotarajiwa.

 

Chanzo; Mwanaspoti

Kuhusiana na mada hii: