Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Tiktoker Peller Azuiliwa Kuonana na Olamide

Tiktoker Maarufu Nchini Nigeria Habeeb Hamzat maarufu kwa jina la Peller alizuiliwa na walinzi alipotaka kumuona na kutengeneza maudhui na msanii Olamide kwenye show yake iliyokua ikifanyika London.

Peller ni tiktoker mwenye ushawishi mkubwa Nchini Nigeria akiwa na takribani wafuasi Milioni 12.8 katika akaunti yake ya tiktok.

 

Chanzo; Bongo 5

Kuhusiana na mada hii: