Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Jan Mvuta Sigara Aliyeishi Miaka Mingi

Mwanaume raia wa Afrika Kusini, anayetajwa kuwa mvutaji sigara mkongwe zaidi duniani, Jan Steenberg, amefariki dunia Januari 6, 2026 chache baada ya kusherehekea siku yake ya kuzaliwa.

Kwa mujibu wa taarifa, Steenberg alidai kuwa na umri wa miaka 121, na katika mahojiano yake aliwahi kusema alianza kuvuta sigara akiwa na umri wa miaka 14. Inaripotiwa kuwa alifariki dunia kutokana na shambulio la pumu (asthma attack) wiki chache zilizopita.

Kifo chake kimewaacha wengi wakiwa na mshangao mkubwa, hasa kutokana na madai ya umri wake mkubwa na historia ndefu ya uvutaji sigara. Familia, marafiki na wananchi wameendelea kutoa salamu za rambirambi wakimuombea apumzike kwa amani.

 

 

 

Chanzo; Global Publishers

Kuhusiana na mada hii: