Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Jimmy Cliff Afariki Dunia

Mwanamuziki maarufu wa reggae kutoka Jamaica, Jimmy Cliff, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 81, taarifa imethibitishwa na mke wake, Latifa Chambers.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Latifa alieleza kuwa msanii huyo amefariki kutokana na ugonjwa wa kuanguka (fall illness) na nimonia, akikumbusha dunia ukubwa wa kipaji cha gwiji huyo ambaye aliiacha reggae ikiwa na alama isiyofutika.

Katika maisha yake ya sanaa, Jimmy Cliff alitamba na vibao vilivyotikisa duniani kama “You Can Get It If You Really Want,” “I Can See Clearly Now,” na “Wonderful World,” ambavyo vilimpa hadhi ya kuwa miongoni mwa wanamuziki wenye mchango mkubwa katika historia ya reggae.

 

Chanzo; Global Publishers

Kuhusiana na mada hii: