Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Miriam Chirwa Achumbiwa

Muimbaji maarufu wa nyimbo za Injili nchini, Miriam Chirwa, ameonyesha furaha na shukrani kubwa kwa Mungu baada ya kupata mchumba.

Akizungumza na Global TV, Miriam amesema kuwa ni neema ya kipekee kwa Mungu kumwongoza hadi kumpata mtu wa kumpenda na kumheshimu. Ameeleza kuwa anashukuru kwa safari yote aliyopitia na jinsi Mungu alivyomjalia katika kipindi hiki maalum cha maisha yake.

Aidha, Miriam amesisitiza kuwa kwa sasa hana mengi ya kusema zaidi ya kumshukuru Mungu kwa wema na baraka alizopewa. Amesema anajisikia furaha na amani moyoni, na kwamba kila hatua anayochukua inaongozwa na Mungu.

 

 

 

Chanzo; Global Publisers

Kuhusiana na mada hii: