Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Mkubwa Fella Hawezi Kukaa Wala Kuongea

Mbunge wa Viti Maalum na mdau mkubwa wa muziki Tanzania, Mama Asha Barakah baada ya kumtembelea Mkubwa Fella ambaye anaumwa, amefunguka kuzungumzia hali ya mdau huyo mkubwa kwenye muziki ikiwa ni siku chache toka mke wake Sweet Fella kupost video ambayo inamuonyesha yeye pamoja na Mkubwa Fella wakiwa wanakunywa juice katika moja ya restaurant kubwa jijini Dar es Salaam.

Video hiyo iliibua maswali mengi kuhusu afya ya Mkubwa Fella huku wengi wakidai video hizo ni ya zamani.

 

 

Chanzo; Bongo 5

Kuhusiana na mada hii: