Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Jason Derulo Amalizana na Wanawake Baada ya Kupoteza Mamilioni

Mwanamuziki Jason Derulo ameeleza kuwa hatorudia tena kuwa ndani peke yake na mwanamke ambaye anafanya naye kazi baada ya kufunguliwa kesi ya unyanyasaji wa kingono na msanii aliyekuwa akifanya nae kazi (Emaza Dilan).

Mwimbaji huyo mwenye umri wa miaka 36 ameyasema hayo alipokuwa akifanya mazungumzo na Bensinger kwenye ‘In Depth With Graham Bensinger’ ambapo amedai kesi hiyo imemgharimu mamilioni ya dola na kupoteza deals kibao, mahusiano na taasisi kubwa na hata kutaka kuiharibu taswira na career yake.

 

Chanzo; Crown Media

Kuhusiana na mada hii: