Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Simu Kifaa Kikubwa cha Mawasiliano Lakini Tatizo Kwenye Ndoa

Simu ya mkononi imekuwa sehemu muhimu ya mawasiliano yetu kila siku. Lakini sasa, kifaa hiki ndicho kinachotajwa kama sababu kubwa na rahisi zaidi ya kuvunjika kwa ndoa na mahusiano.

Tafiti zinaonyesha kwamba kiasi cha talaka kinaongezeka kila uchao, hasa kwa watu wa umri wa makamo na mara nyingi chanzo ni kilekile: simu ya mwenza. Kilichoanza kama chombo cha faraja na kuwaleta watu karibu, kwa wengine kimegeuka kuwa sumu ndani ya ndoa.

 

Chanzo; Bbc

Kuhusiana na mada hii: