Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Mwanamke Aolewa na Mume wa AI Kupitia Chatgtp

Mwanamke wa Kijapani Yurina Noguchi ameripotiwa kufunga ndoa na mhusika aliyeundwa na akili bandia (AI) aitwaye Klaus, kupitia ChatGPT.


Ingawa ndoa hiyo haitambuliki kisheria nchini Japan, Noguchi anasema AI huyo anamfanya awe na furaha zaidi kuliko mahusiano ya kawaida.

Taarifa hiyo imezua mjadala mpana kuhusu mustakabali wa mahusiano ya binadamu na teknolojia.

 

Chanzo; Cnn

Kuhusiana na mada hii: