Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Ghana Yaipiku Afrika Kusini Uzalishaji wa Dhahabu Afrika

Ghana ndiyo nchi pekee kutoka Afrika ambayo ipo katika 10 bora ya nchi ambazo ndiyo wazalishaji wakubwa wa dhahabu barani Afrika.

Ghana imeipiku Afrika Kusini na kuwa mzalishaji mkubwa wa dhahabu barani Afrika, ikishika nafasi ya 6 duniani kwa tani 140.6.

Afrika Kusini ambayo ilikuwa inaongoza katika uzalishaji wa dhahabu barani Afrika imeshuhudia pato lake likipungua kwa miaka mingi.

Hizi ni takwimu kutoka Goldsilver Hq

1. China 11.5%
2. Russia 9.4%
3. Australia 8.8%
4. Canada 6.1%
5. United States 4.8%
6. Ghana 3.9 %
7. Kazakhstan 3.9%
8. Mexico 3.9%
9. Uzbekistan 3.6%
10. Indonesia 3.0 %

 

Chanzo; Bongo 5

Kuhusiana na mada hii: