Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Pesa kwa Mwanaume Inaamsha Ujana

"Pesa hasa kwa sisi wanaume huwa inaamsha ujana, mwisho wa siku mfano unapokwenda baa Saa Saba mchana wale wahudumu wote wanakuwa dada zako.

"Ukishakunywa bia tano wale wahudumu wanageuka hawawi tena dada zako unaona unafaa kuondoka na mmoja wapo. Huwa tunawaambia kwamba wanaonaje wakiifungia pesa sehemu ambayo kuipata sio rahisi?

"Mfano akiwekeza kwenye hati fungani ya UTT AMIS. Ukitaka kuitoa hela yako inakuwa ni siku 10 za kazi kama alikuwa na mbio zake je, huyo Binti ataendelea kumsubiri tu? Hapana!- Charles Ligonja 

 

Chanzo; Clouds Media

Kuhusiana na mada hii: