Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Mbowe Akataa Kujibu Swali Kuhusu Chadema

Mwenyekiti Mstaafu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amekataa kujibu swali aliloulizwa kwenye msiba wa Mzee Edwin Mtei, akieleza kuwa si sahihi kuzungumzia masuala hayo msibani.

Mbowe aliulizwa na mwandishi wa habari kama je, Chadema ya sasa bado inafuata misingi ya muasisi wake, Mzee Mtei?

Mbowe amemuelezea Marehemu Mtei kama mtu aliyejitoa kwa hali na mali kuijenga Chadema na kuwalea kisiasa viongozi wa chama hicho, akiwemo yeye.

 

 

Chanzo; Global Publishers

Kuhusiana na mada hii: